MR TANK OR MR CAMAL, amazing guy ...!


 THIS GUY MAKE HIS NEIGHBORS AND WAZUNGU THEIR DAY! HIVI KWELI NI VITUKO.KW UMAIRI WAKE WA KUNYWA MAJI MENGI NAKUYAIFADHI KWA MATUMIZI MENGINE YA BAADAYE NIMEMPATIA JINA LA LA UTANI MR. CAMALMAN......... REAL EXITING

CAMALMAN

0 comments:

DON'T MISS SDC PICNIC 2013 THIS SEASON.


You are welcome ....

0 comments:

PLAN B REC. GETTING HOT!

TUFF GIZZLE (OWNER)
        
RED AGAIN (PRODUCER)
PLAN B RECORD, ni studio ya mziki inayokuja kasi tokea pande za kaskazini mwa Tanzania, hapa namaanisha mkoa uliopewa jina la mlima mrefu kuliko yote Afrika. Hapa namaanisha Kilimanjaro, na ukitazama ramani yake hutokosa kuuna mji adhim wa Moshi mjini; ndipo waliweka maskani yao studio za PLAN B. Studio hii yenyelengo laku wainua wasanii wachanga pia imetanua wigo wake na kupokea wasanii wakubwa wa ndani na nje ya Kilimanjaro. Hii imedhihirika baada yakufanya nyimbo ambayo ndani yake Darasa ametia vocal (ipo njiani).
        Bilashaka unakiu yakuifahamu zaidi, PLAN B RECORDS, ilianzishwa mwaka 2010, mwanzo ilifahamika kwa jina la ONE LOVE RECORD, ilianzia Dar es salaam kabla yakuamishiwa Moshi. Studio hizi inamilikiwa na kijana mdogo Shabani Ally al maarufu TUFF GIZZLE. Red Again ndio producer mkuu wa Plan B records, ni producer anayefanya vizuri kwani ametengeneza 'hit and hot songs' zinazotesa kwenye chat mbalimbali za radio pande za kaskazini. Baadhi ya nyimbo zilizofanyika PLAN B RECORDS; sururu ya kaskazini - Sururu, like it - Plan B Crew, Natamani - R.daddy, principal - GOOD ON SPEE ft GENERAL BOY. Na nyingine nyingi zinazotarajiwa kutolewa hivi karibuni ikiwemo aliyoshirikishwa Darasa.
Nilipata kutembelea studio hizi nkapata fursa yakuongea na mmiliki wa studio hizo, tuliongea mengi akanidokezea juu yakufungu VIDEO PRODUCTION siku za usoni. Nilimuliza jinsi gani unawaidia wasani wachanga? alijibu " kwanza gharama zetu ni nafuu na cha zaidi tunasaidia kuitangaza ngoma zao redioni" alimaliza kwa kusema " PLAN B RECORDS tumedhamiria kuteka soko la mziki Tanzania".

Huo ulikua waraka mfupi wa PLAN B RECORDS, kwa habari zaidi tembeleeni studio zao zilizopo PASUA-MATINDIGANI, MOSHI MJINI au official blog yao.
SHUKRANI
Shukrani zangu ziwaende crew na uongozi wa PLAN B RECORDS kwa ukarimu wao na kuifanikisha post hii.
Asanteni wadau wa STREETSWAGGERIFIC

0 comments:

The 4 celebrities made from the grass roots, inspires me.

Hello dear readers, how are you doing? " Ngo'mbe wa masikini hazai " have so far been a common in the streets. But this is misleading and outdated saying, the truth is, there so many rich people, great musicians, models, lawyers, leaders ( C.E.Os), politician plus so many others who made it from GRASS ROOTS . Great things have humble beginnings, believe me.
       Diamond (Artist -Singer) , Zembwela (Presenter & actor), Martin Kadinda (Designer), and Milady Ayo (Presenter)  have been teaching us a lots from from radio, newspaper, TV interviews. That's the obstacles they encounter on their ladder to success " Never give up , Never say Never " is the greatest lesson I have learnt whenever I see them.
       The question is, who in your life do inspire you? Remember " You can't be a reference without a reference " When I listen the song "I Believe I can Fly by R.Kelly, I feel that I have got wings already and I feel that nothing can stop me.
         What do you think?      

0 comments:

ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA AFRICA KUSINI LEO

R.I.P MANGWEA
KWA TAARIFA ZA HARAKA ZILIZO TANGAZWA NA CLOUDS RADIO HIVI PUNDE, NI KWAMBA MSANI WA BONGO FLEVA ALBERT MANGWEA A.K.A MANGWEA. member wa Chemba square na mkali wa freestyle; ( alietesa na nyimbo kama ghetto langu, mikasi, nipeni dili, na nyingine kibao) AMEFARIKI DUNIA NCHINI SOUTH AFRICA katika hospitality ya St. Helen, Johannesburg. Alienda huko Afrika Kusini kwaajili ya show akiwa na msani mwenzake M2THE P ambaye naye amelazwa hospitalini hapo na hali yake ni mbaya sana , show hizo   zilifanyika huko na alitarajia kurudi leo Tanzania. Kifo kimethibitishwa na zaidi ya watu  wanne akiwemo mwenyeji wake aliyempokea na Kinye ambaye naye yupo huko Afrika kusini.  Chanzo change ugonjwa haujafahamika mpaka sasa. Nakwakuonesha heshima na umuhimu wa msanii huyo show zilotarajiwa kufanyika ikiwemo ileiliyo andaliwa na Mwana FA, na pia ya Kikosi cha Mizinga zillizotarajiwa kufanyika wiki hii zitafanyika wiki ijayo. R.I.P.
     
Wednesday, evening .
new update ...

0 comments:

WHICH KIND OF HAIR STYLE ARE YOU IN NOW!






ITS NEW DAY, WE SHOULD TALK ABOUT FASHION NOW. I hair is important part to consider in beauty especially natural hairs. tell me which kind hair style is you favorite and why? About me i love low-cutting because it makes me natural and smart , it very easy to take care of it, it save time and it awesome. OK these it ma views but am real love my girlfriend hair style, she love dread-lock and wearing huts i this is what makes her most beautiful woman in the world. I know a  lot about fashion especially clothes but if you fail take your hair style, it can affect your looking no matter how much you spent. BE GOOD IN CHOICE OF YOURSELF, look the shape of  your head and the style are you choose, remember your head shape gave you something special and unique.   

0 comments:

MANAGING STRESS AND ANXIETY

        ***HEALTH CUBE***
      -Many things affects your mental health. Getting to know yourself helps your emotional health. Becoming aware of your value and beliefs can also help your well being. You can do many things to help keep yourself mentally and emotionally healthy.
MANAGING STRESS AND ANXIENTY.
      Stress is not bad. In fact it help you to do certain things. To much stress harm your health.
CAUSE OF STRESS
-Threats; A situation that puts a person's well-being in danger.
-Self-esteem; is how people feels abaut himself or herself. Criticize  you.
-Hassles; small, annoying envent or problem.
PHYSICAL SIGNS SHOWS THAT YOU HAVE STRESS.
-Heart beats increse
-Breath speed
-Muscles get tight
-Cry
-Headache
-Stomach pain (adomineache)
-Nervous
-Not able to sleep well
      EFFECTS
-Fight or flight (flee or run away)
-Feel exhausted
-Tiredness
-Loss energy
-Illness (ulcers BP (blood presure)
SOLUTIONS FOR BOTH STRESS AND ANXIENTY.
-Hold your breath , take a cup of water and calm.
-Try to think about solution of your problem ( in condusive enviroment )
-Prepare yourself for it. ( Accept the situation you have and strart to act)
-Don't do anything untill you calm ( you may cause more trouble and mistakes by take actions without think twice.)

0 comments:

JE, WAJUA NAKSHI YA SHANGA ASILI YAKE NI AFRICA.

          ** AFRO FASHION**


       karibu ndugu kwenye safu hii inayo jikita zaidi katika kukufunulia tamaduni za kiafrika kwaundani zaidi juu ya masuala yote ya urembo na mchango wao katika  'fashion' hii leo. karibu!
      WAZULU na WASWAZI wa Afrika Kusini wanatamaduni wa kutengeneza vito vya aina yake na vyenye kuvutia sana. Mapambo (bangili , hereni n.k) hayo hutengenezwa kwa kutumia shanga zifumwazo kwa ustadi wa hali ya juu, shanga hizo zimepatiwa jina la ROCAILLES
              Kwa wazulu huweza kufuma kwa kuweka nakshi za rangi tofauti za shanga hizo kwa makusudio ya kutoa ujumbe fulani ulio kusudiwa. Pia hutolewa na rafiki wa kike kwa mpenzi wake wa kiume kwa makusudio muhususi ;bangili ya shanga za rangi nyekundu humaanisha upendo wa kupindukia kwa mpenziwe, 'moyo wangu unabubujikwa na damu kwa upendo wako'. Shanga za rangi ya njano humaanisha wizu, na nyeusi huelezea hasira na uchungu (moyo wangu umechukizwa kwa usaliti / moyo wangu umepasuka kwa maumivu pindi niliposikia unampenzi mwingine).
          Kwa wahindi wekundu wa Amerika ya kaskazini hutumia mifupa na mbegu maalumu wakitumia na shanga kutengeneza vito vyao. Hakika hustadi huu ni wa kipeke na waaina yake.Tamaduni zao hizo zimekuza sekta ya utali 'tourism' kwa  kuvutia sana wageni toka sehemu mbalimbali na kupiga hodi kwa vijana wanao tafuta ajira hivi leo, jambo hili limewawezesha kujiajiri wenyewe. Zaidi ni pale inapo jitambulisha kwenye 'fashion' hii leo, sasa shanga hizo zatumika na wabunifu wengi wa mavazi ndani na nje ya Afrika na kuitambulisha kama mavazi ya kiafrika, shanga huweza kufumwa kwenye magauni sehemu za shingo/kola, kwenye mikono sehemu ya chini kwa magauni na hata bukta pia kwenye mikanda, kutengeneza hereni, bangili, cheni na hata pete mbalimbali. Hakika ni sana inayovutia sana kwenye macho ya wengi.

0 comments:

NJIA 5 ZA KUCHAGUA ZAWADI KWA HUMPENDAE MAALUMU KWA SIKU YA VALENTINE.


      Habari wapenzi wa safu hii, kama ifahamikavyo kila mwaka tarehe 14 ya mwezi februari ni siku ya wapendanao VALENTINE DAY. Wengi huumiza kichwa linapokuja suala la zawadi gani yakumzawadia mpenzi wake au yeyote ampendaye ( mzazi, mtoto, rafiki ) siku ya VALENTINE DAY. kuna usemi usemao ' zawadi ni zawadi ', na kweli zawadi ni zawadi; je, ulisha jiuliza zawadi bora ni ipi? Zawadi bora sio lazima iwe ileinayouzwa ghali. Zawadi bora ni ile itakayo furahiwa na kukumbukwa kipindi kirefu hata miaka kadha. Basi chagua kulicho bora kwa mpenzi wako. Zipo njia nyingi ila hizi ni bora zaidi kwako;
       
           Njia ya kwanza ni ya kuangalia akipendacho mwenzi wako na kumpatia kama zawadi. mfano, mpenzi wako anapenda kuogelea basi kumnunulia 'swimsuite' kama zawadi. Ikiwa anapenda michezo basi ni wazo zuri kumnunulia viatu vya michezo ( sport shoes ) kama njumu , nike ____ au waweza mnunulia jezi.  

            Njia nyingine ni kuangali kitu akipendacho sana ( her/his dream thing). Unaweza kujua akipenda kwa kumfuatili anachopenda kukizungumzia mara nyingi na angependa kukipata. Mfano, kama mpenzi wako anapenda zungumzia 'smartphones' basi ukimnunulia I phone, android phones au windows phones ni vizuri.

          Unaweza pia kuangalia kitu akipendacho kukitumia na kimesha chaka  au kupitwa na wakati na kumnunuli kipya, kama mpenzi wako anapenda kuvaa saa na ishapitwa na wakati au kuchaka basi kumnunulia mpya kama zawadi ni bora.

          Njia nyingine ni kuangalia kipaji chake. mfano anapenda kuchora basi kumnunulia 'set' ya vifaa vya kuchorea huenda ikamfurahisha na akahisi unamjali.


         Njia ya mwisho ni kutumia kipaji chako kuanda zawadi kwa mwenzi wako. kama wewe unakipaji cha kuchora basi unaweza mpa zawadi ya picha ulio ichora inaweza.
  1. ANGALIZO
         -Njia zote zilizotajwa hapo juu zaweza kukupa mwanga wa njia ya kuchagua zawadi kwa mpenzi wako au mtu yeyote umpendaye. ILA SIO UHAKIKA WA KUKUBALIKA KWA ZAWADI YAKO KWANI HUTEGEMEA NA YULE UNAYEMPELEKEA  ZAWADI YAKO KWANI HUTUGEMEA UPENDO WAKE KWAKO, HULKA (kama ana tabia ya kuashukuru) NA TABIA YAKE (kwani wapo wasio na tabia ya kushukuru).
       MAZINGATIO
  -  'kama anakupenda atajali zawadi utakayompelekea ili mradi ni kwa ajili ya kumsaidia'
  -  'KUJALI AFYA ZETU na MWENZI WAKO JUU YA MAAMBUKIZO YA UKIMWI (HIV/AIDS)'
        

0 comments:

NYANYUKA ZAIDI YA UNAVYO DONDOKA

          **WISE QOUTE**

Nyanyuka mara nyingi zaidi ya unavyo dondoka.

Ulishawahi kushindwa au kukosea katika maisha yako? Kama ndio hii ni kwa ajili yako.
ZABURI 37: 23 - 24,
'Hatua za mtu zaimarishwa na Bwana, nayeaipenda njia yako.
Anapojikwa hataanguka chini, Bwana humshika mkono na kutegemeza.'
Moja katika vitu hatarishi sana maishani ni kuchukua tahadhari nyingi na kutokuwa na makosa au kushindwa. Kushindwa ni fursa ya kuanza tena upya vizuri zaidi.
VERNON SANDERS observes, '       Experience is a hard teacher because she gives the test first, the leson afterward'.
Failure it can become a weight or it can gives you wings. Watu waliofanikiwa huamini kushindwa sio hitimisho ni matokeo tu.
'If you never failed, you never lived' said Ahmed Likindo.
Watu wenye busara husema, hatuangali tulipo angukia pindi tujikwaapo. Ila pale tulipojikwa na kuchukua tahadhari mara nyingine; Kunyanyuka ndicho kitu cha kwanza kabisa.
     Michael Jordan; aliwahi sema ' Sijawahi kuhesabu kua ni mara ngapi niliwahishindwa'.
Kalamu yangu inadondoka baada ya kumuangazia Ahmed Likindo aliposema ' Fear will take you no where but to itself'.

0 comments:

3 AFRICAN INSPIRATION POEMS

                **POEMS**

BEFORE THE LIGHT THERE WAS DARKNESS

Please let me see a tremor
Or a smile,
Or an empty dream,
Trying not to look.

Please let me see,
The line on your face,
Or an empty dream
Trying not to look.

Please let me memorize
the color of your eyes
so when you say farewell
I will not need to ask you why!

                -By Kristina Runganon

      THINK EDUCATION
Bare in the mind
Revolves innocence
Of becoming a learner
Needing a tutor
For all that is unseen
Waits patiently to be seen
Endeavours in life
              a guarantee to success
A journey of education
Remaining to be found
                           
                             By Olivier Newton ~ Charles

  SILENCES

Those who enjoy great potencies
Of voltages , of energies,
For the sake of the serenities
Must losten to the silences,
Make peace with the humilities.

                         - Thomas Blackburn.

0 comments:

4 SIMPLE WAYS OF LOOK MILLION DALLAS WHILE SPENDING LESS.

           **FASHION TIPS**

      Fashion is today, style parennial. Style is abaut confidence; not about cash.
BELIEF
If you a fortune on yourclothes, you would look like million dollars.
TRUTH
You may feel like million dallars really end there. You actually would look no different than you do in your normal High street tags . . . . and you would be great deal poorer.
THE SOLUTION
How to look million dallars without actually spending it:
           -Choose investment garments with skills.
           - Ensure they fit and flatter.
           3. Co-ordinate and accessories correctly
            4. Compliment and complimate with good grooming.

0 comments:

STREET SWAGG EVOLUTION: UBORESHAJI WA UENDESHAJI WA BLOG , YA UCHAPISHAJI WA MAKALA .

        Kutokana na maoni yaliyotolewa ya kuboresha uchapishaji wa makala zetu, mabadiliko hayo yatakua kama ifuatavyo: Tutatoa makala mchanganyiko katika nyanja tofautitofauti ikiwemo Afya, Fashion, Teknohama, Habari muhimu, Tips (dondoo) za Fashion, Vitabu na magazine, Entertainment, n.K
          Mabadiliko haya yatagusa uchapishaji wa makala ya kila mwenzi kwa mfululizo tutakua tukichapisha mada zaidi ya 15 kwa mwezi. Tutaboresha GRAPHICS na staili ya uchapishaji wa makala zetu.
        Tutakua tukitoa machapisho hayo kila tarehe 12 hadi 14 ya kila mwezi kwa mfululizo, mabadiliko hayo yataanza tarehe 12 februari mwaka huu.

          TUNAKUSHUKURU KWA KUCHAGUA BLOG YETU ( Street Swagg ).

0 comments:

MAJINA YA KINYANG'ANYIRO CHA TUZO ZA OSCAR SASA HADHARANI

Tuzo za OSCAR 2013 zapamba moto hii ni baada ya kutangazwa kwa majina yatakayo wania tuzo hizo, ambazo ni tuzo za 85 zinazotarajia kufikia kilele Februari 24, taarifa iliyo tolewa mapema wiki hii baada ya jopo la  ' Academy of Motion Picture Art and Science ' kukutana na kutoa majina ambayo yatawania tuzo hizo. Filamu ya Lincoln imeongoza kwa kupata nafasi nyingi zaidi ambazo ni nafasi 12 ikifuatiwa na The Life Of Pi yenye nafasi 11, licha yakupata nafasi hizo bado kuna kibarua kigumu kuweza kupiku nyingine.BAADHI YA NOMINATION NI KAMA IFUATAVYO:

Best PictureUK
Amour
Argo
Beasts of the Southern Wild
Django Unchained
Les Miserables
Life of Pi
Lincoln
Silver Linings Playbook
Zero Dark Thirty
Best Actor
Bradley Cooper, Silver Linings
Playbook
Daniel Day-Lewis, Lincoln
Hugh Jackman, Les Miserables
Joaquin Phoenix, The Master
Denzel Washington, Flight
Best Actress
Jessica Chastain, Zero Dark Thirty
Jennifer Lawrence, Silver Linings
Playbook
Emmanuelle Riva, Amour
Quvenzhane Wallis, Beasts of the
Southern Wild
Naomi Watts, The Impossible
Best Supporting Actor
Alan Arkin, Argo
Robert De Niro, Silver Linings
Playbook
Philip Seymour Hoffman, The
Master
Tommy Lee Jones, Lincoln
Christoph Waltz, Django
Unchained
Best Supporting Actress
Amy Adams, The Master
Sally Field, Lincoln
Anne Hathaway, Les Miserables
Helen Hunt, The Sessions
Jacki Weaver, Silver Linings
Playbook
Best Director
Michael Haneke, Amour
Ang Lee, Life of Pi
David O. Russell, Silver Linings
Playbook
Steven Spielberg, Lincoln
Benh Zeitlin, Beasts of the
Southern Wild
Best Original Screenplay
Amour, Michael Haneke
Django Unchained, Quentin
Tarantino
Flight , John Gatins
Moonrise Kingdom , Wes Anderson
and Roman Coppola
Zero Dark Thirty , Mark Boal
Best Adapted Screenplay
Argo , Chris Terrio
Beasts of the Southern Wild ,
Lucy Alibar and Benh Zeitlin,
Life of Pi, David Magee
Lincoln , Tony Kushner
Silver Linings Playbook, David O.
Russell
Best Animated Feature:
Brave
Frankenweenie
ParaNorman
The Pirates! Band of Misfits
Wreck-It Ralph
Best Cinematography
Anna Karenina, Seamus McGarvey
Django Unchained, Robert
Richardson
Life of Pi, Claudio Miranda
Lincoln , Janusz Kaminski
Skyfall, Roger Deakins
Best Costume Design
Anna Karenina, Jacqueline Durran
Les Misérables, Paco Delgado
Lincoln , Joanna Johnston
Mirror Mirror , Eiko Ishioka
Snow White and the Huntsman ,
Colleen Atwood
Best Documentary Feature
5 Broken Cameras
The Gatekeepers
How to Survive a Plague
The Invisible War
Searching for Sugar Man
Best Documentary Short
Inocente
Kings Point
Mondays at Racine
Open Heart
Redemption
Best Film Editing
Argo , William Goldenberg
Life of Pi, Tim Squyres
Lincoln , Michael Kahn
Silver Linings Playbook, Jay
Cassidy and Crispin Struthers
Zero Dark Thirty , Dylan Tichenor
and William Goldenberg
Best Foreign Language Film
Amour, Austria
Kon-Tiki , Norway
No , Chile
A Royal Affair , Denmark
War Witch , Canada
Best Makeup and Hairstyling
Hitchcock, Howard Berger, Peter
Montagna and Martin Samuel
The Hobbit: An Unexpected
Journey , Peter Swords King, Rick
Findlater and Tami Lane
Les Misérables, Lisa Westcott and
Julie Dartnell
Best Original Score
Anna Karenina, Dario Marianelli
Argo , Alexandre Desplat
Life of Pi, Mychael Danna
Lincoln , John Williams
Skyfall, Thomas Newman
Best Original Song
“Before My Time” from Chasing
Ice, music and lyric by J. Ralph
“Everybody Needs A Best Friend”
from Ted , music by Walter
Murphy; lyric by Seth MacFarlane
“Pi’s Lullaby” from Life of Pi,
music by Mychael Danna; lyric by
Bombay Jayashri
“Skyfall” from Skyfall, music and
lyric by Adele Adkins and Paul
Epworth
“Suddenly” from Les Misérables,
music by Claude-Michel
Schönberg; lyric by Herbert
Kretzmer and Alain Boublil
Best Production Design
Anna Karenina, Production
Design: Sarah Greenwood; Set
Decoration: Katie Spencer
The Hobbit: An Unexpected
Journey , production Design: Dan
Hennah; Set Decoration: Ra Vincent
and Simon Bright
Les Misérables, Production
Design: Eve Stewart; Set
Decoration: Anna Lynch-Robinson
Life of Pi, Production Design:
David Gropman; Set Decoration:
Anna Pinnock
Lincoln , Production Design: Rick
Carter; Set Decoration: Jim
Erickson
Best Animated Short
Adam and Dog
Fresh Guacamole
Head over Heels
Maggie Simpson in “The Longest
Daycare”
Paperman
Best Live Action Short
Asad
Buzkashi Boys
Curfew
Death of a Shadow
Henry
Best Sound Editing
Argo , Erik Aadahl and Ethan Van
der Ryn
Django Unchained, Wylie
Stateman
Life of Pi, Eugene Gearty and Philip
Stockton
Skyfall, Per Hallberg and Karen
Baker Landers
Zero Dark Thirty , Paul N.J.
Ottosson
Best Sound Mixing
Argo , John Reitz, Gregg Rudloff
and Jose Antonio Garcia
Les Misérables, Andy Nelson,
Mark Paterson and Simon Hayes
Life of Pi, Ron Bartlett, D.M.
Hemphill and Drew Kunin
Lincoln , Andy Nelson, Gary
Rydstrom and Ronald Judkins
Skyfall, Scott Millan, Greg P.
Russell and Stuart Wilson
Best Visual Effects
The Hobbit: An Unexpected
Journey, Joe Letteri, Eric Saindon,
David Clayton and R. Christopher
White
Life of Pi, Bill Westenhofer,
Guillaume Rocheron, Erik-Jan De
Boer and Donald R. Elliott
The Avengers , Janek Sirrs, Jeff
White, Guy Williams and Dan
Sudick
Prometheus , Richard Stammers,
Trevor Wood, Charley Henley and
Martin Hill
Snow White and the Huntsman ,
Cedric Nicolas-Troyan, Philip
Brennan, Neil Corbould and
Michael Dawson
Je, ninani atanyakua kinyanganyiro hiki? hili swali ngoja niwaachie nyinyi. unaweza kukomenti kupitia Twitter, Facebook , E-mail au ukakomenti moja kwa moja kwenye blog hii.  MSISAHAU KUSHEA NA MARAFI ZENU KUPITIA MITANDAO YA KIJAMII.


0 comments:

JINSI YA KUCHAGUA UNYUNYU / PERFUME NA KANUNI ZAKE HIZI HAPA



           Habari za mwaka mpya wapenzi wa blog hii, hakika tumeanza vyema leo ninajambo la kuwaeleza, nimepata email juu ya jambo hili. Nimekusa yamsingi yakuwaeleza ninacho hitaji ni utulivuwenu niwezekupakua nilicho waandalia. Bila kuchukua muda tugeukie mada kuu, kama tujuavyo kua perfume ni jambo linalo tiliwa mkazo katika masuala ya urembo, zipo pafyumu za aina na bei tofauti zipo za bei ya juu kama GUCCI n.k
          Zipo aina tatu za unyunyu ambazo; parfum , eau de parfum na ya mwisho ni eau de toilette. Hizi utofautiana kwenye ukali wa harufu, parfum aina hii inaharufu kali zaidi , eau de parfum ina haru saizi ya kati ikifuatiwa na eau de toilette hii inaharu pole zaidi, hivyo chaguo ni lako. Kumbuka sio ainazote zitkufaa au nikwa ajili yako. sio kila aina itakufa, hivi kunawakati ulisha tumia unjunju wa rafiki yako ukanukia vizuri au vibaya? Kama ulinukia vizuri inakufa ka ni laa basi tafuta ainayako. Unyunyu unukia tafauti kulingana na hali ya mfano joto au baridi hii hutokana na jinsi ilivyo tengenezwa. kipindi cha joto tumia NON-ALCOHOLIC SCENTS kama Jean Patou's n.k
WAKATI UNANUNUA UNJNJU (PERFUME).
          Unapofika dukani unaweza kuchagua harufu huitakayo kwa kupuliza kidogo kwenye mkono wako nakunusa, kama utaipenda basi unaweza kuondoka nakutembea kidogo kuweza kuangalia kama kunamabadiliko yeyote kama kupotea kwa harufu haraka , kukera wengine, au kuwa na harufu mbaya. Endapo haitaleta mabadiliko mabaya basi ni nzuri na inakufaa. ANGALIZO; kama harufu yake inaisha haraka basi haikufai.
JINSI YA KUPULIZA.
           Igawa watu wengi wamezoea kupiga au kuzipulizia nguo zao unyunyu wanapotaka kuziva, ili sio sahihi kabisa kwani kufanya hivyo hupelekea kuweka madoa nguo au kuziacha zikinuka vibaya licha ya kuzifua mara kadhaa. Usahihi ni kupiga kwenye ngozi yako na sii vinginevyo. Maeneo muhimu ni mikononi na kwenye shingo na karibu na kifua wala sio kwapani kama wengi walivyo zoea (kufanya hivyo kuweza kuleta harufu mbaya iliyochanganjika na jasho kali). Umuhimu wa kupulizia ngozi upelekea ngozi kuchukua 'kuadapti' harufu ya unyunyu uliojipulizia na kua kama harufu yako ukitumia kwa muda mrefu.
ANGALIZO; soma jinsi ya kutumia na kuhifadhi kwa matokeo salama na bora.
           Ntumaini mmeridhika na makala hii, ningependa kusikia toka kwenu kwa kujibu hili. Je, wewe unatumia pafyumu gani?
Unaweza kumenti mojakwamoja kwenye blog hii au kwa kupitia akauti yangu ya Twitter ambayo ni HKEENSHINE.
Nasubiri majibu yenu.
 

0 comments: