MR TANK OR MR CAMAL, amazing guy ...!


 THIS GUY MAKE HIS NEIGHBORS AND WAZUNGU THEIR DAY! HIVI KWELI NI VITUKO.KW UMAIRI WAKE WA KUNYWA MAJI MENGI NAKUYAIFADHI KWA MATUMIZI MENGINE YA BAADAYE NIMEMPATIA JINA LA LA UTANI MR. CAMALMAN......... REAL EXITING

CAMALMAN

DON'T MISS SDC PICNIC 2013 THIS SEASON.


You are welcome ....

PLAN B REC. GETTING HOT!

TUFF GIZZLE (OWNER)
        
RED AGAIN (PRODUCER)
PLAN B RECORD, ni studio ya mziki inayokuja kasi tokea pande za kaskazini mwa Tanzania, hapa namaanisha mkoa uliopewa jina la mlima mrefu kuliko yote Afrika. Hapa namaanisha Kilimanjaro, na ukitazama ramani yake hutokosa kuuna mji adhim wa Moshi mjini; ndipo waliweka maskani yao studio za PLAN B. Studio hii yenyelengo laku wainua wasanii wachanga pia imetanua wigo wake na kupokea wasanii wakubwa wa ndani na nje ya Kilimanjaro. Hii imedhihirika baada yakufanya nyimbo ambayo ndani yake Darasa ametia vocal (ipo njiani).
        Bilashaka unakiu yakuifahamu zaidi, PLAN B RECORDS, ilianzishwa mwaka 2010, mwanzo ilifahamika kwa jina la ONE LOVE RECORD, ilianzia Dar es salaam kabla yakuamishiwa Moshi. Studio hizi inamilikiwa na kijana mdogo Shabani Ally al maarufu TUFF GIZZLE. Red Again ndio producer mkuu wa Plan B records, ni producer anayefanya vizuri kwani ametengeneza 'hit and hot songs' zinazotesa kwenye chat mbalimbali za radio pande za kaskazini. Baadhi ya nyimbo zilizofanyika PLAN B RECORDS; sururu ya kaskazini - Sururu, like it - Plan B Crew, Natamani - R.daddy, principal - GOOD ON SPEE ft GENERAL BOY. Na nyingine nyingi zinazotarajiwa kutolewa hivi karibuni ikiwemo aliyoshirikishwa Darasa.
Nilipata kutembelea studio hizi nkapata fursa yakuongea na mmiliki wa studio hizo, tuliongea mengi akanidokezea juu yakufungu VIDEO PRODUCTION siku za usoni. Nilimuliza jinsi gani unawaidia wasani wachanga? alijibu " kwanza gharama zetu ni nafuu na cha zaidi tunasaidia kuitangaza ngoma zao redioni" alimaliza kwa kusema " PLAN B RECORDS tumedhamiria kuteka soko la mziki Tanzania".

Huo ulikua waraka mfupi wa PLAN B RECORDS, kwa habari zaidi tembeleeni studio zao zilizopo PASUA-MATINDIGANI, MOSHI MJINI au official blog yao.
SHUKRANI
Shukrani zangu ziwaende crew na uongozi wa PLAN B RECORDS kwa ukarimu wao na kuifanikisha post hii.
Asanteni wadau wa STREETSWAGGERIFIC

The 4 celebrities made from the grass roots, inspires me.

Hello dear readers, how are you doing? " Ngo'mbe wa masikini hazai " have so far been a common in the streets. But this is misleading and outdated saying, the truth is, there so many rich people, great musicians, models, lawyers, leaders ( C.E.Os), politician plus so many others who made it from GRASS ROOTS . Great things have humble beginnings, believe me.
       Diamond (Artist -Singer) , Zembwela (Presenter & actor), Martin Kadinda (Designer), and Milady Ayo (Presenter)  have been teaching us a lots from from radio, newspaper, TV interviews. That's the obstacles they encounter on their ladder to success " Never give up , Never say Never " is the greatest lesson I have learnt whenever I see them.
       The question is, who in your life do inspire you? Remember " You can't be a reference without a reference " When I listen the song "I Believe I can Fly by R.Kelly, I feel that I have got wings already and I feel that nothing can stop me.
         What do you think?      

ALBERT MANGWEA AFARIKI DUNIA AFRICA KUSINI LEO

R.I.P MANGWEA
KWA TAARIFA ZA HARAKA ZILIZO TANGAZWA NA CLOUDS RADIO HIVI PUNDE, NI KWAMBA MSANI WA BONGO FLEVA ALBERT MANGWEA A.K.A MANGWEA. member wa Chemba square na mkali wa freestyle; ( alietesa na nyimbo kama ghetto langu, mikasi, nipeni dili, na nyingine kibao) AMEFARIKI DUNIA NCHINI SOUTH AFRICA katika hospitality ya St. Helen, Johannesburg. Alienda huko Afrika Kusini kwaajili ya show akiwa na msani mwenzake M2THE P ambaye naye amelazwa hospitalini hapo na hali yake ni mbaya sana , show hizo   zilifanyika huko na alitarajia kurudi leo Tanzania. Kifo kimethibitishwa na zaidi ya watu  wanne akiwemo mwenyeji wake aliyempokea na Kinye ambaye naye yupo huko Afrika kusini.  Chanzo change ugonjwa haujafahamika mpaka sasa. Nakwakuonesha heshima na umuhimu wa msanii huyo show zilotarajiwa kufanyika ikiwemo ileiliyo andaliwa na Mwana FA, na pia ya Kikosi cha Mizinga zillizotarajiwa kufanyika wiki hii zitafanyika wiki ijayo. R.I.P.
     
Wednesday, evening .
new update ...

WHICH KIND OF HAIR STYLE ARE YOU IN NOW!






ITS NEW DAY, WE SHOULD TALK ABOUT FASHION NOW. I hair is important part to consider in beauty especially natural hairs. tell me which kind hair style is you favorite and why? About me i love low-cutting because it makes me natural and smart , it very easy to take care of it, it save time and it awesome. OK these it ma views but am real love my girlfriend hair style, she love dread-lock and wearing huts i this is what makes her most beautiful woman in the world. I know a  lot about fashion especially clothes but if you fail take your hair style, it can affect your looking no matter how much you spent. BE GOOD IN CHOICE OF YOURSELF, look the shape of  your head and the style are you choose, remember your head shape gave you something special and unique.   

MANAGING STRESS AND ANXIETY

        ***HEALTH CUBE***
      -Many things affects your mental health. Getting to know yourself helps your emotional health. Becoming aware of your value and beliefs can also help your well being. You can do many things to help keep yourself mentally and emotionally healthy.
MANAGING STRESS AND ANXIENTY.
      Stress is not bad. In fact it help you to do certain things. To much stress harm your health.
CAUSE OF STRESS
-Threats; A situation that puts a person's well-being in danger.
-Self-esteem; is how people feels abaut himself or herself. Criticize  you.
-Hassles; small, annoying envent or problem.
PHYSICAL SIGNS SHOWS THAT YOU HAVE STRESS.
-Heart beats increse
-Breath speed
-Muscles get tight
-Cry
-Headache
-Stomach pain (adomineache)
-Nervous
-Not able to sleep well
      EFFECTS
-Fight or flight (flee or run away)
-Feel exhausted
-Tiredness
-Loss energy
-Illness (ulcers BP (blood presure)
SOLUTIONS FOR BOTH STRESS AND ANXIENTY.
-Hold your breath , take a cup of water and calm.
-Try to think about solution of your problem ( in condusive enviroment )
-Prepare yourself for it. ( Accept the situation you have and strart to act)
-Don't do anything untill you calm ( you may cause more trouble and mistakes by take actions without think twice.)